Wezi waiba gari na mtoto wa mwezi mmoja akiwa ndani

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Friday, July 20, 2018

Wezi waiba gari na mtoto wa mwezi mmoja akiwa ndani

Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Claire O’Neill amejikuta akiungana kwa mara nyingine na mtoto wake wakike wa miezi minne baada ya wezi kuiba gari lake likiwa na mwanae huyo ndani
Claire O’Neill mwenye umri wa miaka  39, raia wa Uingereza alimuacha mtoto huyo kwenye gari lake aina ya ‘Audi A3 sports’ nje ya nyumba yake huko Birmingham kabla ya wezi kuliiba hapo jana siku ya Alhamisi majira ya mchana.
Wezi hao waliyokadiriwa kuwa wawili walikuwa wakimfuatilia mama huyo aliyekuwa amempakia mwanae kichanga anayejulikana kwa jina la Eliza kwenye siti za gari hiyo
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top